Uniformity is important.kuna mwalimu wangu aliniambia chanzo cha kuvaa uniform shuleni ni kuondoa utofauti(matabaka).nimesoma na watoto wa majaji,wakuu wa polisi,madaktari na wauza vitumbua na siku zote nilijihisi mwanafunzi.lazima tuwajenge wafuasi wetu nao wajihisi ni makamanda.
Heko mwanakijiji!
Mkuu kwa mara ya kwanza nimeshindwa kukuelewa, na hoja yako imekosa mifano inayoeleweka ili kuiunga mkono. Naliona tatizo kubwa liko kwenye maneno haya... na si uniformity kama ulivyodai maana umetoa mfano wa vazi la CCM....Hebu angalia hapa kuna Uniformity...?
Sare ni muhimu ila ikumbukwe kuwa wapo wananchi wanaounga mkono hoja za CDM na ni wafuasi wa vyama vingine hivyo sio lazima wavae sare za CDM kwa sababu kadha wa kadha.
Kwanza wapo wafuasi ambao ni wa chama tawala (CCM) na kutokana na nafasi zao katika jamii hawawezi kuvaa sare za CDM, hawa wakiulizwa watasema wameenda kusikiliza hoja za CDM.
naunga mkono hoja ya hapo juu.........mapambano na harakati hizi ni za umma! inabidi yapate sura kuwa ni ya waTZ wote bila kujali itikadi zao za vyama, dini, rangi au kabila, inabidi yawe karibu zaidi na umma, cio wapenzi wa cdm tu! cdm bado inahitaji wanachama zaidi zaidi wale walioko vyama vingine na wasio na chama pia...
so HOJA YANGU NI :- kama jinsi vile wana'CDM watakavyohisi kuwa wao ni sehemu ya mapambano kwa kuvaa mavazi yao (kama Mwanakijiji anavyosema) VIVYO HIVYO wale wasio na chama au wasio CDM ndivyo watajihisi kuwa wao sio sehemu ya mapambano na harakati hizo. ni hayo tu wadau!