Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
ZANZIBAR SIKU MOJA MOJA NENDA KAPUMZIKE
aaah ivuga umenikumbusha zenj hiyo picha yamwisho kiwengwahapo kaka ktk ile bridge unajirusha mpaka kuche,kweli zenj ninjema na atakae aje?zenj rrrrrraaahhaaaaaaah!!
Hii zanzibar kweli?.....dah!ufukwe maji crystal clear........
Zanzibar mkuu ..ila sishangai watu wengi hatuijui nchi yetu mkuu inabidi tuanzishe kampeni za domestic tourism ...wabongo hawapendi hii kitu kwenda kumpumzika
karibu mkuuthanks mkuu.....my next trip bongo lazima nika tulie kidogo zenj
thanks mkuu.....my next trip bongo lazima nika tulie kidogo zenj
Duh!kumbe zenji imetulia kweli kweli!kunafaa kwenda kujiachia kwa mapumziko!!
Hii zanzibar kweli?.....dah!ufukwe maji crystal clear........
ukenda twende wote au hutanichukua?????mi pia nataka kwenda sijapatapo mwenyeji hash jamani?????
Kimanjaro Hotel Kempiski very romantic
mamii anytime.....nahisi siku zitakuwa chanya sana