PICHA ZA leo

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,385
ZANZIBAR SIKU MOJA MOJA NENDA KAPUMZIKE



58401111_WindowsLiveWriter_a9739e4e84aa_13977_image_b933164ff3664da6bd02c7317187fc46.png
58401101_WindowsLiveWriter_a9739e4e84aa_13977_image_1f9eb8bf306746239899ffeada9fe4fe.png

58401141_WindowsLiveWriter_a9739e4e84aa_13977_image_995569ccdc794eeba84cd90c36685e86.png
 
Hii zanzibar kweli?.....dah!ufukwe maji crystal clear........

Zanzibar mkuu ..ila sishangai watu wengi hatuijui nchi yetu mkuu inabidi tuanzishe kampeni za domestic tourism ...wabongo hawapendi hii kitu kwenda kumpumzika
 
Zanzibar mkuu ..ila sishangai watu wengi hatuijui nchi yetu mkuu inabidi tuanzishe kampeni za domestic tourism ...wabongo hawapendi hii kitu kwenda kumpumzika

thanks mkuu.....my next trip bongo lazima nika tulie kidogo zenj
 
safi kabisa, tukijitahidi kulinda usafi sehemu hizo na kuhamasisha wazawa nao wafanye utalii wa nchi yao tunaweza kuvutia wetu wengine zaidi.
 
Duh!kumbe zenji imetulia kweli kweli!kunafaa kwenda kujiachia kwa mapumziko!!
 
badae nitawawekea picha ya mwembe basha kama kuna mtu ambaye ashawahi kuskia stori yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom