mnankawe
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 178
- 95
Hawa wanajeshi wa Zimbabwe wanachezea mpira golini kwa Mugabe,Mzee anataka apige count attack! Akiupata tu huo mpira lazima huyo Mkuu wa majeshi apigwe chiniNi vema tu akakubali kuachia kwa amani. Na Mkuu wa Jeshi ampe heshima kama Rais Mstaafu wa nchi hiyo. Ingependeza zaidi