Huyu mkuu wa majeshi ni boya Tu kama ana kijana wake yuko jeshini anapaswa afanye kumshikisha adabu
Kama unateka nchi afu unakaa kwenye mazungumzo na uliyowateka huo siyo uasikari labda kama hilo jeshi lao kama wanafanyaga hivyo
Kama nia yake alikuwa ni kumtoa Mugabe na kumuweka MTU mwingine mazungumzo ya nn wazimbabwe wenyewe waoga kama watanzania hawana hili wala lile
Mwambieni huyo kamanda maji hayapandi mlima
Sengwile makamanda ndyo ilitakiwa isikike halale mida hii huku jeshi likiendelea kugawana nyazifa mbalimbali
Hata jeshi halikuwa na nia ya kumwondoa Mugabe, nia yao ilikuwa kuwaondoa wanaomzunguka ambao walikuwa wanasababisha kutengwa kwa 'old generation' waliopigania uhuru. Jeshi limeingilia ili kulinda wapigania uhuru.Duru zinasema kuwa amegoma kung'oka akitaka abaki madarakani mpaka wakati wa uchaguzi mwakani.
Swadaktaaaa!Mkao wa Mugabe unasisitiza kuwa yeye bado ni mkuu wa nchi
Huyu mkuu wa majeshi ni boya Tu kama ana kijana wake yuko jeshini anapaswa afanye kumshikisha adabu
Kama unateka nchi afu unakaa kwenye mazungumzo na uliyowateka huo siyo uasikari labda kama hilo jeshi lao kama wanafanyaga hivyo
Kama nia yake alikuwa ni kumtoa Mugabe na kumuweka MTU mwingine mazungumzo ya nn wazimbabwe wenyewe waoga kama watanzania hawana hili wala lile
Mwambieni huyo kamanda maji hayapandi mlima
Sengwile makamanda ndyo ilitakiwa isikike halale mida hii huku jeshi likiendelea kugawana nyazifa mbalimbali
Vinganganizi mbn mbona mna wasi wasiWewe ndio Boya
Tangu awali alisisitiza hawajampindua Mugabe Bali wanadhibiti genge la wahuni linalomzunguka then ataombwa apumzike
In your dreams, huo mkao wa kufa kufa kama amebanwa na tumbo la mharo... wacha utani zama zake zimekwisha wajeda hawataki ujinga haoMkao wa Mugabe unasisitiza kuwa yeye bado ni mkuu wa nchi
Mke wake katoka ndukiKabisa achape mwendo tu maana muda wake umeisha..
mambo hayawagi kirahisi hivyo...yaani unafurahia wazungu kutaka kuweka kibaraka wao?Huyu mkuu wa majeshi ni boya Tu kama ana kijana wake yuko jeshini anapaswa afanye kumshikisha adabu
Kama unateka nchi afu unakaa kwenye mazungumzo na uliyowateka huo siyo uasikari labda kama hilo jeshi lao kama wanafanyaga hivyo
Kama nia yake alikuwa ni kumtoa Mugabe na kumuweka MTU mwingine mazungumzo ya nn wazimbabwe wenyewe waoga kama watanzania hawana hili wala lile
Mwambieni huyo kamanda maji hayapandi mlima
Sengwile makamanda ndyo ilitakiwa isikike halale mida hii huku jeshi likiendelea kugawana nyazifa mbalimbali
Unajua maana ya andishi lako?Ccm wasipotoka madarakan nitaenda jeshin niwe mkuu wa jeshi ili niitoe mwenyewe
Kuachia kwa amani ni hadi muda wake aliopewa na wananchi wa Zimbabwe uisheNi vema tu akakubali kuachia kwa amani. Na Mkuu wa Jeshi ampe heshima kama Rais Mstaafu wa nchi hiyo. Ingependeza zaidi
Vinganganizi mbn mbona mna wasi wasi
Ova