Well its very bad and also deadly game to gamble ,but i doubt kete 5000? Nafikiri idadi hii inawezekana kuwekwa kwenye maiti tu.....:disapointed:
Hatari sana hii
Kabla mtu ajazimeza zinakuwa hivi sasa ebu fikilia mtu anameza
kete elfu 5 jamani hii ni hatari
Never on Earth... nngu007 labda uwe na utumbo wa Ngombe....binadamu wa kawaida akibeba uzito mkubwa ni kete 160 mpaka 165.
wanameza kupitia mdomoni au wanaingizaje tumboni!
Dec 17th 2013
Picha inajieleza yenyewe tuungane kuyapiga vita kwa pamoja mimi wewe na yule.
Hivi ndio huwa mambo yanavyokuwa kwa wabebaji wa madawa ya kulevya(maarufu kwa jina la Punda) ni hatari sana kwa afya ya Binadamu, kijana tuungane kwa pamoja kupinga biashara hii haramu na hatari sana tukishirikiana kwa pamoja na Serikali kwa pamoja tunaweza kutokomeza madawa haya haramu na hatari sana kwa jamii yetu.
Hii ni picha ya x ray inayoonesha ndani ya tumbo madawa aliobeba.
Yanavyoweza kuathili baadhi ya sehemu katika mwili.
Operation ikifanyika tayari kuyaondoa madawa hayo yaliompelekea kijana huyu kufariki.
Operation ikiendelea hatari sana ndugu zangu.
Baada ya utumbo kutolewa tayali kuanza kuyatoa madawa hayo.
Kama uonavyo yakiwa ndani ya utumbo mpana.
Yakianza kutolewa pamoja na kushafishwa jinsi unavyoona katika picha.
Baada ya utumbo kuchanwa tayari kwa kutoa keti hizo.
Kabla mtu ajazimeza zinakuwa hivi sasa ebu fikilia mtu anameza kete elfu 5 jamani hii ni hatari .
Bad enough hela yenyewe wanayolipwa ni ndogo ajabu hata msingi wa nyumba ya vyumba 3 hauishi!mh ketee elfu 5 ebwana hapa uhapa umezdirha labda awe ngamia