Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Acha porojo zako hamna hata ushahidi kuwa hizo ni nyumba za Chadema; umeokoteza picha za kijijini kwenu eti utuaminishe kuwa ni za ofisi za chadema!!! Upuuzi wako kaa nao huko huko magambani.
Dah mbona umekuwa mkali ndizo zenyewe au ulijua kitu alluminium,tiles etc.wanasema ngoja wachukue nchi hadi pale magogoni watafungua ofisi ya tawi.Acha porojo zako hamna hata ushahidi kuwa hizo ni nyumba za Chadema; umeokoteza picha za kijijini kwenu eti utuaminishe kuwa ni za ofisi za chadema!!! Upuuzi wako kaa nao huko huko magambani.
Dah mbona umekuwa mkali ndizo zenyewe au ulijua kitu alluminium,tiles etc.wanasema ngoja wachukue nchi hadi pale magogoni watafungua ofisi ya tawi.