mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
AZIKA MWANAE AKIWA HAI KISA AMEAHIDIWA KUOLEWA NA TAJIRI
Mama mmoja amezika mwanae wa miezi mitatu akiwa hai baada ya kuahidiwa kuolewa na kijana tajiri. Mama huyo hakutaka kumwambia mwanaume huyo kuwa tayari alikuwa amezaa mtoto na mwanaume mwingine.
Kwa ajili ya kutaka kudumisha uhusiano mpya na tajiri huyo ndipo alipoamua kufanya tukio hilo la kutisha. Alimvizia mtoto huyo amelala na kwenda kumzika akiwa hai.
Tukio hili limebainika baada ya ndugu na majirani kumuona pekee pasipo mtoto ndipo walimbana hadi akasema ukweli kuwa amemzika mtoto huyo siku mbili zilizopita.
Source: Mother buried her 3 months old baby after she met a rich man who
Kwa ajili ya kutaka kudumisha uhusiano mpya na tajiri huyo ndipo alipoamua kufanya tukio hilo la kutisha. Alimvizia mtoto huyo amelala na kwenda kumzika akiwa hai.
Tukio hili limebainika baada ya ndugu na majirani kumuona pekee pasipo mtoto ndipo walimbana hadi akasema ukweli kuwa amemzika mtoto huyo siku mbili zilizopita.
Source: Mother buried her 3 months old baby after she met a rich man who