Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,467
Kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwananchi (12/10/2010) kuna picha kubwa ikimwonyesha Chipukizi: katika kampeni kuna mashabiki/ wanachama wa CCM wengi wao ni akina dada wametandika chini kwenye ardhi picha za mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM, Jakaya Mrisho Kikwete na kuzikalia!
Hivi hawa ni wanachama kweli wa CCM au wamepewa tu ajira ya muda?
Naomba mwenye hii picha atuwekee hapa, tafadhari.
Hivi hawa ni wanachama kweli wa CCM au wamepewa tu ajira ya muda?
Naomba mwenye hii picha atuwekee hapa, tafadhari.