Munru JF-Expert Member Oct 19, 2010 1,340 664 Apr 24, 2012 #2 duh !! kweli soo, hapo pindi anatakuwa anamuona bi kudude kacheza kama pele vile, ila sidhani kama wamesolve msala
duh !! kweli soo, hapo pindi anatakuwa anamuona bi kudude kacheza kama pele vile, ila sidhani kama wamesolve msala
mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Apr 24, 2012 #3 Kama kweli vile! Ila ni kwa muda tu. Dose ya Zitto iko pale pale lazima wainywe!
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,042 16,044 Apr 24, 2012 #4 PM sasa anaweza hata kuhema sasa na kiti kinakalika, Weekend yake ilikuwa mbaya sana!.
AshaDii Platinum Member Apr 16, 2011 16,190 18,076 Apr 24, 2012 #6 Mbona anamuangalia Pinda kama yupo in Love? :shut-mouth: