Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
nilivyokuwa kijana nilikuwa Mzuri Mashallah..............................................
Jamaa si ungekomaa tu na geshi ungekua mbali sana saivi, yani kwa umri huo una mawe mawili? At least ungekua na cha kujivunia kuliko hiyo kazi uliyojipachika sasa hivi ya "uRUBANI"
Jamaa si ungekomaa tu na geshi ungekua mbali sana saivi, yani kwa umri huo una mawe mawili? At least ungekua na cha kujivunia kuliko hiyo kazi uliyojipachika sasa hivi ya "uRUBANI"
He was beautiful!
Ila ulipotufikisha mjombaa noma...
nilivyokuwa kijana nilikuwa Mzuri Mashallah..............................................
Umeona eeehkwa ubeautiful huo kawalamba wengi!
He was beautiful!
Mkuu huo uzuri wk ndo ulio2ponza coz kila m2 anachukulia poa bora ungekua na uso wa mbuzi tungefaidik ila nakupongeza manake sshv unautumia uzur wk vzr coz daily unauza sura tu.Mwanaume hasifiw sura mkuu ni pilika na kuwajibika!
kwa ulaini huo wa sura unaonesha kabisa hata jeshini ulikuwa unabebwa,shukrani kwa mganga mzee mtudumba aliyekufikisha ulipo sasa.
nilivyokuwa kijana nilikuwa Mzuri Mashallah..............................................
na wewe mmoja wao nini? nani kakuuliza!kwa ubeautiful huo kawalamba wengi!