mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,151
- 3,066
Anafanya kwa sababu ni jukumu lake ila sioni alama ya upendo!mapwnzi bwana!
Anafanya kwa sababu ni jukumu lake ila sioni alama ya upendo!
Anafanya kwa sababu ni jukumu lake ila sioni alama ya upendo!
Anatekeleza dhana ya hakuna haki bila wajibu!
Hayo mapenzi yanahitaji roho ngumu aiseee
Hahahaaaaaa ningekua mimi ningeondoka na huo mwanvuli kabisa anyeshewe hadi anitake radhi......mzxcrth@a#£%&@,U_UO.O:O:0)
Hahaha jamaa anatekeleza kiapo
Kila abiria chunga mzigo wako
Mbona hiyo sacrifice ndogo tunafanya makubwa zaidi ya hayo.... Wanawake wangejua wasingekuwa wanazingua Kaya kihivo
mapwnzi bwana!