mjepo JF-Expert Member Aug 8, 2013 4,913 916 Dec 31, 2013 #2 Wagonjwa wako wengi kweli hapa kwetu tanzania.
Malkia wa Sheba Member Mar 15, 2013 38 31 Jan 1, 2014 #3 kweli kiti cha moto na bila kuwa ngangari Mtoto wa Mkulima utakikimbia
Chatumkali JF-Expert Member Sep 9, 2011 2,037 458 Jan 1, 2014 #4 Du!Kainua vitako juu halafu jamaa anamcheka mwenzie.!
Gefu JF-Expert Member Nov 30, 2010 6,930 2,554 Jan 1, 2014 #6 ...teh teh mazee msimlize mtoto wa watu...
mihadarati JF-Expert Member Aug 27, 2013 268 74 Jan 1, 2014 #7 Hahaha nimeipenda sana hiyo katuni Mchora katuni wa Tanzania daima Said michael napenda kazi yake n mbunifu big up.
Hahaha nimeipenda sana hiyo katuni Mchora katuni wa Tanzania daima Said michael napenda kazi yake n mbunifu big up.
life is Short JF-Expert Member Apr 1, 2013 4,741 3,031 Jan 1, 2014 #8 Chatumkali said: Du!Kainua vitako juu halafu jamaa anamcheka mwenzie.! Click to expand... Sii,Ndiyo SIASA zetu !! Ukiwa madarakani unapigiwa makofi na vigeregere... ukitupwa chini Mmmh vicheko vinatawala mitaa!!
Chatumkali said: Du!Kainua vitako juu halafu jamaa anamcheka mwenzie.! Click to expand... Sii,Ndiyo SIASA zetu !! Ukiwa madarakani unapigiwa makofi na vigeregere... ukitupwa chini Mmmh vicheko vinatawala mitaa!!