Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu utasikia "tumtangulize Mungu mbele"Tumepitia mengi sn...View attachment 1954356
Labda mungu wa chato...Halafu utasikia "tumtangulize Mungu mbele"
Kama ilikuwa mijitu mibaya mibaya itaitwa “mihayati”. Kama ilikuwa mijitu mizuri mizuri itaitwa “mahayati”.Wingi wa neno HAYATI ni nini??View attachment 1891845
daaaaaah
Lilijifanya Mungu mtu, wacha lioze na mashetani walikumbatie. RIP Azory, RIP Bensaanane, RIP Mawzo, RIP sandarusi za maiti Cococ bech , RIP etc etc BAKKwamba huyu ni mkazi (mzaliwa) wa Chato! Kwamba ni mtu wa kijiweni sana na shughuli zake ni kulima na kufuga! Kwamba sio Shushushu bali ni mkazi ambaye pasina shaka amezoea kuwa hapo alipo na hajui lolote kuhusu SISITIMU
SISITIMU ya awamu ya tano ilifeli sana.Ilikuwa kama watoto wadogo waliovaa pampasi ambao hawajui la kufanya.
View attachment 1891822View attachment 1891824View attachment 1891825
Kila mtu atakufa. Awe na dhambi au lah!! Wema nao hufa. Kifo sio laana bali adhabu kwa kila kiumbe chenye uhai.Lilijifanya Mungu mtu, wacha lioze na mashetani walikumbatie. RIP Azory, RIP Bensaanane, RIP Mawzo, RIP sandarusi za maiti Cococ bech , RIP etc etc BAK
The issue is, if he were to be alive today, how many would have been dead/disappeared until today!Kila mtu atakufa. Awe na dhambi au lah!! Wema nao hufa. Kifo sio laana bali adhabu kwa kila kiumbe chenye uhai.
Kama silaha vileHio picha ya kwanza kwenye tumbo kaweka nini? Manake flana imetuna naona.
Lunatic
Hapo lazima aliweka Glock -19 aka "mguu wa kuku"...Hio picha ya kwanza kwenye tumbo kaweka nini? Manake flana imetuna naona.
Lunatic
Hawakosei ina maana wao si binadamu??100% a joke.Hawa jamaa huwa hawakosei
Assumptions.Lilijifanya Mungu mtu, wacha lioze na mashetani walikumbatie. RIP Azory, RIP Bensaanane, RIP Mawzo, RIP sandarusi za maiti Cococ bech , RIP etc etc BAK
Ila dialo mchokozi sanaa
HIYO INAITWA MISSION COMPLETEDWingi wa neno HAYATI ni nini??View attachment 1891845
Ila kuna watu mna diploma ya ubishi daah... Vipi kwenye kilele cha kuzima mwenge ulienda Chatrooo??Ingekuwa ni acting asingeivaa
Kama wanakosea mpaka kumpelekea majina ya uteuzi mtu leo anateuliwa halafu kesho analiwa kichwa ndiyo hawakosei hao? They are just human beings like U...100% a joke.Hawa jamaa huwa hawakosei
Mueleze mkuu, tena hizo ni highly trained intelligence agencies...kama ni mfuatiliaji mzuri wa mambo ya ujasusi utagundua kuwa taasisi za kiitelligensia kuanzia CIA,FBI,MOSSAD ,za Russia na kadhalika zimekuwa zikifanya makosa ya wazi kabisa,ya kijinga na yenye gharama kubwa sana kwao.Mfano mzuri ni jasusi la Israel bwana Eli Cohen ambae alitumwa Syria na Mossad na kuna kosa kubwa tena la kijinga kabisa walifanya mossad ikasababisha huyu jasusi kudakwa na Syria na kunyongwa hadharini uwanjani mchana kweupe mbele ya uma huko Syria.View attachment 1906199
Hizi taasisi huwa wanakosea pia na huwa wanakosea kwa sababu wao ni binadamu na binadamu siyo perfect.