Jerry Ekky
JF-Expert Member
- May 6, 2018
- 1,614
- 4,667
Kuna exception kwenye taasisi za intelijensia mkuuNi kitu ambacho kinawezekana kabisa.Binadamu siyo Mungu.Binadamu kujisahau inawezekana kabisa.
Kuna exception kwenye taasisi za intelijensia mkuuNi kitu ambacho kinawezekana kabisa.Binadamu siyo Mungu.Binadamu kujisahau inawezekana kabisa.
kama ni mfuatiliaji mzuri wa mambo ya ujasusi utagundua kuwa taasisi za kiitelligensia kuanzia CIA,FBI,MOSSAD ,za Russia na kadhalika zimekuwa zikifanya makosa ya wazi kabisa,ya kijinga na yenye gharama kubwa sana kwao.Mfano mzuri ni jasusi la Israel bwana Eli Cohen ambae alitumwa Syria na Mossad na kuna kosa kubwa tena la kijinga kabisa walifanya mossad ikasababisha huyu jasusi kudakwa na Syria na kunyongwa hadharini uwanjani mchana kweupe mbele ya uma huko Syria.Kuna exception kwenye taasisi za intelijensia mkuu
ChumaHio picha ya kwanza kwenye tumbo kaweka nini? Manake flana imetuna naona.
Lunatic
Kosa gani lilifanywa?kama ni mfuatiliaji mzuri wa mambo ya ujasusi utagundua kuwa taasisi za kiitelligensia kuanzia CIA,FBI,MOSSAD ,za Russia na kadhalika zimekuwa zikifanya makosa ya wazi kabisa,ya kijinga na yenye gharama kubwa sana kwao.Mfano mzuri ni jasusi la Israel bwana Eli Cohen ambae alitumwa Syria na Mossad na kuna kosa kubwa tena la kijinga kabisa walifanya mossad ikasababisha huyu jasusi kudakwa na Syria na kunyongwa hadharini uwanjani mchana kweupe mbele ya uma huko Syria.View attachment 1906199
Hizi taasisi huwa wanakosea pia na huwa wanakosea kwa sababu wao ni binadamu na binadamu siyo perfect.
Huko Syria kulikuwa na huyu jamaa👇Kosa gani lilifanywa?
🤣🤣🤣Mi mbona sijaona mtu akizungumzia uokotaji wa vichwa vya treni bandarini?
Corona kiboko sanaWingi wa neno HAYATI ni nini??View attachment 1891845
Kashaoza dah maisha hayaKwamba huyu ni mkazi (mzaliwa) wa Chato! Kwamba ni mtu wa kijiweni sana na shughuli zake ni kulima na kufuga! Kwamba sio Shushushu bali ni mkazi ambaye pasina shaka amezoea kuwa hapo alipo na hajui lolote kuhusu SISITIMU
SISITIMU ya awamu ya tano ilifeli sana.Ilikuwa kama watoto wadogo waliovaa pampasi ambao hawajui la kufanya.
View attachment 1891822View attachment 1891824View attachment 1891825
Wingi wa neno HAYATI ni nini??View attachment 1891845
Japo aliigeuza ndani nje still NEMBO imeonekana.Hiyo T-shirt jamaa aliyovaa unajua ni t-shirt gani?Kuna mtu wa kijiweni anaweza kuvaa t-shirt kama hiyo?
Ahahahahhhh
Kajitia kugeuza lakini inasomeka. Bibi na bwana hiyo.Hiyo T-shirt jamaa aliyovaa unajua ni t-shirt gani?Kuna mtu wa kijiweni anaweza kuvaa t-shirt kama hiyo?