Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,647
Buji buji igizo linafeli?Wamefeli igizo lao
Punguza ukali wa maneno; MUNGU ndie mhukumu mwenye haki sisi wengine ni waja wake tu.Lilijifanya Mungu mtu, wacha lioze na mashetani walikumbatie. RIP Azory, RIP Bensaanane, RIP Mawzo, RIP sandarusi za maiti Cococ bech , RIP etc etc BAK
Wangekuwa wengi sana. Wengi wasiokuwa na makosa walikuwa mahabusu mbalimbali nchini kwa kesi za kusingiziwa tu na wapambe wake.The issue is, if he were to be alive today, how many would have been dead/disappeared until today!
Bujibuji umebadili ID maana lilikuwa linaishia BujibujiWamefeli igizo lao
The issue is your legacy! Jitu katili la roho za watuKila mtu atakufa. Awe na dhambi au lah!! Wema nao hufa. Kifo sio laana bali adhabu kwa kila kiumbe chenye uhai.
HahahaaaWingi wa neno HAYATI ni nini??View attachment 1891845