barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
Huu ndio mtindo ambao Polisi wameanza kuufanya kwa Viongozi wa Kisiasa watakaokamatwa kwa makosa ya uchochezi.Hii ni kutaka jamii iwafahamu popote watakapopita kuwa watu hawa ni wachochezi na wawaepuke.
Kuelekea Septemba Mosi,viongozi watakaokamatwa kwa kosa la kichochezi watashikishwa mabango yanayowatambulisha kama wachochezi katika Jamii.Hali hii ni kuanzia kwa Mwalimu na kuendeelea mpaka kwa viongozi wengine.
Tutaona mengi kuelekea UKUTA.....
Cc Lizaboni Adharusi UncleBen Jambazi Ritz Eli79 Ruttashobolwa