Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,849
- 30,189
"Mimi Bi. Zarula ni shangazi yangu aliyezaliwa tumbo moja na baba yangu.
Amenilea toka nimeacha ziwa mpaka nakuwa na akili najua yeye ndio mama yangu.
Pia nilikuwa ninafahamu wapi alikuwa akificha kadi, akija mtu wanafunga milango yote ndio anamuandikia na zilizobaki anazificha uvunguni mwa kitanda."
Amenilea toka nimeacha ziwa mpaka nakuwa na akili najua yeye ndio mama yangu.
Pia nilikuwa ninafahamu wapi alikuwa akificha kadi, akija mtu wanafunga milango yote ndio anamuandikia na zilizobaki anazificha uvunguni mwa kitanda."