Ernesto Che
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,114
- 293
Nasikitika sana na upeo duni wa watu wanajiita "great thinkers", hivi kwani siasa ni uadui? Nani alikwambia au ulisoma wapi? Kimsingi Mbowe alihudhuria sherehe ile kwa nyadhifa mbili. 1. Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni na 2. Mwenyekiti wa chadema. Pia kumbuka mwaliko ulitolewa na mahakama sio ikulu. Kuna mihimili mitatu ya dola
1. Bunge - Chedema hawana tatizo nalo
2. Mahakama - Chadema hawana tatizo nayo
3. Serikali (Rais) - Chadema wanalalamikia taratibu zilizomuweka madarakani.
Jamani hebu kuweni na upeo japo kidogo tu tuoneshe tofauti yetu na watanzania wengine.
1. Bunge - Chedema hawana tatizo nalo
2. Mahakama - Chadema hawana tatizo nayo
3. Serikali (Rais) - Chadema wanalalamikia taratibu zilizomuweka madarakani.
Jamani hebu kuweni na upeo japo kidogo tu tuoneshe tofauti yetu na watanzania wengine.