Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
New York,Marekani.
Picha ya mwanadada Marlyn Monroe iliyopigwa mnada hapo jana imevunja rekodi kwa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 195($195 Mil) ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 450 za Kitanzania.
Picha hii pia imevunja rekodi ya kuwa ndio picha ya gharama zaidi kwa picha zilizochorwa katika karne ya 20.
Picha hii ilichorwa na mchoraji Andy Warhol mwaka 1964 ilinunuliwa na Bwana Lary Gagosian katika mnada ambao ulichukua chini ya dakika nne tu.
Marilyn Monroe alizaliwa June 1,1926 na alifariki August 4,1962 akiwa na miaka 36.
Je huyu dada alikuwa na kitu gani cha ziada kiasi cha picha yake kuuzwa ghali namna hii?
Kwa kadri nilivyomsoma inasemekana alikuwa mwigizaji,model na sex symbol(mtanisaidia hapa) na pia inasemekana aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Raisi John F Kennedy na ndugu yake Robert F Kennedy,Je kuna mengine unayajua kuhusu huyu mwanadada?.
Picha ya kwanza ndio iliyovunja rekodi.
Ahsante.
Picha ya mwanadada Marlyn Monroe iliyopigwa mnada hapo jana imevunja rekodi kwa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 195($195 Mil) ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 450 za Kitanzania.
Picha hii pia imevunja rekodi ya kuwa ndio picha ya gharama zaidi kwa picha zilizochorwa katika karne ya 20.
Picha hii ilichorwa na mchoraji Andy Warhol mwaka 1964 ilinunuliwa na Bwana Lary Gagosian katika mnada ambao ulichukua chini ya dakika nne tu.
Marilyn Monroe alizaliwa June 1,1926 na alifariki August 4,1962 akiwa na miaka 36.
Je huyu dada alikuwa na kitu gani cha ziada kiasi cha picha yake kuuzwa ghali namna hii?
Kwa kadri nilivyomsoma inasemekana alikuwa mwigizaji,model na sex symbol(mtanisaidia hapa) na pia inasemekana aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Raisi John F Kennedy na ndugu yake Robert F Kennedy,Je kuna mengine unayajua kuhusu huyu mwanadada?.
Picha ya kwanza ndio iliyovunja rekodi.
Ahsante.