Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,217
- 6,349
mmmh kuna wadada wanatisha ucpime
Wote hao wanatisha, labda wa kati kidooogo anatoka.
mmmh kuna wadada wanatisha ucpime
Mtu malaya hadi ndoa imemshinda.
Kwanza kumtukana mkeo kwenye facebook ni utaahira
Huyo jamaa wa nyuma yao mwenye koti jeusi mbona ameyakomalia makalio ya R1?
Le MutuzEnheee, tufafanulie ni nani huyoo?
Le Mutuz
uwe na adabu mkuu ...
anamlindia nani hayo masaburi!!!???
mkiwasema watu nyie kwenu ni sawa lakini mkisemwa nyie maneno ya kweli mnakosewa adabu!! Kuku akinya sawa lakini bata akinya , kaharisha!!!
acha nikupotezee tu yaonekana una stress
Hapo nimemtambua mmoja tu, Thomas Mulambo, hawa wengine ni akina nani?
Le Mutuz Mutu ya Kilo! Jamaa anapozi nyie acheni tu!
Samahani mkuu,nani aliyefanya hivyo?Mtu malaya hadi ndoa imemshinda.
Kwanza kumtukana mkeo kwenye facebook ni utaahira