Nilikuwa mmoja wa watu ninaoamini kwamba wanahabari wanakandamizwa sana na Serekali ya CCM na jeshi la polisi.
Nilikuwa nikiwaunga mkono katika kupigania haki za watz. Lkn kumbe ni watu useless,wanakarupuka na hawapo makini.
Jaana baada ya kuweka picha ya muumini wa kiislam wa Morogoro kuwa tukio limetokea Zanzibar ni umbumbu wa wahahriri hawa.
Kumbe haya ndio wanayofanya?
Nilikuwa nikiwaunga mkono katika kupigania haki za watz. Lkn kumbe ni watu useless,wanakarupuka na hawapo makini.
Jaana baada ya kuweka picha ya muumini wa kiislam wa Morogoro kuwa tukio limetokea Zanzibar ni umbumbu wa wahahriri hawa.
Kumbe haya ndio wanayofanya?