Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,276
- 18,350
Haelewi huyuSafi sana mkuu, namshauri Don Nalimison afute picha ya gereza, atafungwa miezi sita. Deo soma kipengele Section 84 (1) (e) na (f) cha Prison Act 2002 cha hiyo sheria aliyoambatisha mwamba hapo juu
Kuna mambo unaweza kufanya kwa kutafuta umaarufu ukajikuta unarudi jela kulima mashamba ya Serikali kimasihara kabisa