Kyokola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 1,402
- 1,889
Wamejipunguza wenyewe.
Wamejipunguza wenyewe.
Kule instagram Wanaitwa mwanakulifindHuyu jamaa alikuwa na kosa gani? Aisee! Anatia huruma.
Pole sana mkuu
Mkuu pole sana.
Ville vile hakikisha unafuata taratibu za kisheria kubadili jina la sivyo utakua hatarini kupoteza haki zako.
Mkuu najikaza sana nisicheke, ila pole kwa yote uliyopitia umesota deo, vipi sasa umerudi urania harakata zinaendelea? Na unatuambiaje life ya jela eti boss
Yale macho ukiyacheki,,yaani amepitia mengi sana mazitoHuyu jamaa alikuwa na kosa gani? Aisee! Anatia huruma.
Pole sana mkuu
Ohoooo!!!!Wahenga walisema "Ugali ni mtamu ila sio wa jela"
Wanakuombea lifti kwenye roli la mkaapole sana mkuu, ila naomba kuuliza wakuu
ivi kama umefanyia kosa mtwara nawe ni mkazi wa huko ukahukumiwa miaka 4 ila adhabu yako ukaimalizia kagera je? wanakupa nauli ya kurudi mtwara ama utajijua ukitoka jera.
Eti una undugu na Nabii Tito?
HahaaaWamejipunguza wenyewe.
HahaaAisee Don Nalimi sura imebadilika sana hadi yule demu wako mtoto wa Obama akikuona atakusahau.
Hata wewe usipounga mkono juhudi unaingia humo!Aisee pole
Ukijifanya kichaa utarudi tena.
Safi sana mkuu, namshauri Don Nalimison afute picha ya gereza, atafungwa miezi sita. Deo soma Section 84 (1) (e) na (f) cha Prison Act 2002 cha hiyo sheria aliyoambatisha mwamba hapo juuKisandu punguza mdomo huo
Utarudi jela na hutoamini macho yakoView attachment 1498069