Picha ya Dkt. Salmin Amour na Dkt. Hussein Mwinyi inaliza

Kwa kumbukumbu zangu, Maalimu Seif alikua wa kwanza kuingia kwenye siasa na hata kua na nyadhifa kubwa kubwa serikalini kuliko komandoo, binafsi nimemuona kwa mra ya kwanza Maalimu Seif April 1984 na nadhani ndio pia ilikua mara yangu ya kwanza kuiona camera ya video/TV; look at these two people now, Maalimu Seif yu buheri wa afya na komandooo afya yake ni mgogoro; kiburi hakifai, yupo Mungu mbinguni who is the controller of everything; tumuheshimu huyo. Yaani uwe una mamlaka kuliko wengine, uwe fala, uwe na pesa au fukara, kwa Mungu wote ni HALI MOJA tu
ungeweka akiba ya maneno mkuu.
 
Inawezekana kabisa hata asingekua rais, Salmin angepitia hichohicho anachopitia sasa, siri ya maisha yetu anayo mwenyezi Mungu
Sisi sote ni binadamu hakuna aliyekamilika maisha yanaweza badilika muda wowote tusihukumu tusije kuhukumiwa, wala tusimpangie Mungu
Kuwa Rais au mja si neno. Hakuna anayehukumiwa hapa. Ujumbe muhimu katika mada hii tunakumbushwa kuwa wema kwa binadamu wenzetu wakati wote tukitambua ukuu wa Mwenyenzi Mungu, unyonge tuliozaliwa nao (human vulnerability) na uwekezekano wa kubadilikiwa maisha wakati wowote.

Sio ukiwa njema basi unaendekeza kiburi cha uzima na kuwatendea binadamu wenzako visivyo kwa dharau nyingi eti kwa vile hata ukiwa mwema unaweza pata adha zozote tu. Wakati wowote tarajia rehema ya Mwenyenzi Mungu na huruma ya binadamu wenzako. That's certainly a valid message to us as of current.
 
Back
Top Bottom