Picha ya Bendera ya Tanganyika kwa ambao hatujawahi kuiona

ila naomba kama kuna uwezekano isiwe na rangi ya kijani kabisaaa bora hiyo ya zambarau a.k.a purple or udhurungi
 
Hii je?
images

Hiii ni ya free Manson akiwemo Nepi
 
Tukikaa na kufikiri kwa kina sijui huyu RAIS wa muungano atakuwa ana kazi gani yaani kwa ufupi JD yake ni ipi?Je atakuwa na AUTHORITY gani?Ni nani atachangia cost za kuiweka serikali hii ya tatu.Je itakuwa na wabunge na mawaziri au inakuwaje?Je,hii kodi yetu itatosha kuendesha safari za RAIS wa Tanganyika na RAIS wa Muungano? Watanzania inapasa tujiulize mara tatu tatu hii ni kwa faida ya MTANZANIA au MWA-SIHASA?

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndani ya mfumo wa serikali tatu atakuwa amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama

Maswali yako yanajibiwa na rasmi ya pili ya katiba hapo chini

https://www.jamiiforums.com/katiba-...atiba-ya-jamhuri-ya-muungano-wa-tanzania.html
 
Katika hali ya kufurahia ujio wa tanganyika mpya iliyo kuwa imepotezwa na ccm,sasa bendera ya tanganyika ipo mitaani kama maandalizi ya hamasa ya kushawishi wananchi wakubali serikali 3
Safari bado ndefu kwani wachakachuaji wamejipanga kwenye bunge maalumu la katiba hii na kwenye kura ya maamuzi. Kazi ngumu bado mbeleni kuipata Tanganyika inayoliliwa na wananchi wake wengi.
 
Tanganyika mama njoo, watoto wako tulikaa wakiwa muda mrefu. Ni furaha yetu mama kukuona. Watoto wako wengi hapo duniani utatuona wajukuu na vitukuu. Tunakupenda Tanganyika.
Mkuu, machozi yananilengalenga.
 
Mungu ibariki Tanganyika,
Wabariki viongozi wake,
Heshima umoja na amani,
...................................
...................................
...................................
.....................................
......................................

MASAHIHISHO: ...Siyo HESHIMA... Bali ni HEKIMA.
 
Mtikila ndio mtanganyika wa kweli dah huyu jamaa hajawahi kujiita mtanzania though tulikuwa twamuona chizi kumbe aliona mbali
 
Tukikaa na kufikiri kwa kina sijui huyu RAIS wa muungano atakuwa ana kazi gani yaani kwa ufupi JD yake ni ipi?Je atakuwa na AUTHORITY gani?Ni nani atachangia cost za kuiweka serikali hii ya tatu.Je itakuwa na wabunge na mawaziri au inakuwaje?Je,hii kodi yetu itatosha kuendesha safari za RAIS wa Tanganyika na RAIS wa Muungano? Watanzania inapasa tujiulize mara tatu tatu hii ni kwa faida ya MTANZANIA au MWA-SIHASA?

Nafikiri atakuwa ni ceremonial president.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom