Baada ya kugoogle nimeipata hii, nadhani hapa alikuwa na My Wife wake... Steven Kibona's Photos | Facebook
Mbona unatuwekea picha ya pacha mwenzio!! Au ni bahati mbaya umejisahau?Baada ya kugoogle nimeipata hii, nadhani hapa alikuwa na My Wife wake... Steven Kibona's Photos | Facebook
kweli bana wanaotajwa kama heroes kama hawa (Kibona,Rutihinda) RIP,, picha zao ziwekwe kuvuta kumbukumbu sawia!
Mi nashangaa watu wanawaza ushirikina tu! nina historia yake juu ya uzalendo kwa Taifa lakini sijapata kuiona sura yake! Nikiwa mdogo niliona msululu wa magari ukiisindikiza maiti yake!kweli bana wanaotajwa kama heroes kama hawa (Kibona,Rutihinda) RIP,, picha zao ziwekwe kuvuta kumbukumbu sawia!
I liked Kibona, na bado nakumbuka baadhi ya maneno yake katika hotuba za bajeti bungeni. Neno lililonikaa mpaka leo ni hili, 'watanzania ni masikini katika nchi tajiri'. Japo amekufa maneno yake bado yapo hai.
Nimeibukia huku katika harakati za kutafuta picha zakeni kweli mkuu,
rasilimali nyingi lakini.....
Na baada ya kifo chake watu walifanya kufuru kwenye upigajiI liked Kibona, na bado nakumbuka baadhi ya maneno yake katika hotuba za bajeti bungeni. Neno lililonikaa mpaka leo ni hili, 'watanzania ni masikini katika nchi tajiri'. Japo amekufa maneno yake bado yapo hai.