Nimezipata kadhaa hebu kaangalie kuleHa haa haaa ujua utani?
Em isake
Aliuwawa baada ya kukataa kutoa fedha za epa
We ni mtanzania kweli?Aliuwawa baada ya kukataa kutoa fedha za epa
Kwa mbali Kama PM wa sasa
Kizalia?Kwa mbali Kama PM wa sasa
Hawa ''machogo'' kwa kuuza nchi hawa! Na huyu mama wa kambo naye si ajabu akaondoka na mtu ili bandari iende!Gilman Rutihinda
Gavana Benk Kuu Tanzania (1989 - 1993). Alipata ajali ya gari asubuhi akitokea kwake, akafa, ikatangazwa ilikuwa ajali ya kawaida. Miezi kadhaa nyuma, yeye na Waziri wake wa Fedha Steven Kibona walimgomea Rais Mwinyi kuchapisha fedha kuziingiza kwenye mzunguko.
Waziri wake wa Fedha, Steven Kibona yeye alisafiri kwenda India, aliporudi akaanza kuumwa na tumbo la kuhara, naye akafariki. Taarifa zikasema alikuwa na ugeni wa vyakula vya kihindi hivyo vilimpa mchafuko wa tumbo hatimaye kupelekea kifo chake.
weka linkNimezipata kadhaa hebu kaangalie kule