Picha:Wazungu eti wanadai mademu wetu wakiafrika hawana mvuto ebu angalia wao

Mzuqa!

Tuendelee tu kumshukuru Mungu na kujivunia kuzaliwa mwafrika. Ni jambo jema na la kujivunia. Laiti tungezaliwa kama wao ama kukulia toka utotoni kwenye Jamii yao tungebaki kuwa mazoba yaliyokubuhu na mentality mbofumbofu.
View attachment 1115684

Eti huyu hapa chini kwenye picha wenyewe wanavyodai ni mrembo balaa na ana mvuto wa aina yake. BORA TU TUBAKI NA LOW IQ.

View attachment 1115686

A naitwa Kendal jarner eti wenyewe wanavyodai ni kati ya mwanamke mrembo na mwenye mvuto wa aina yake duniani sasa hivi na wako serious hawatanii hawa watu wanaopeleka hadi roketi Mars.

Sasa cha kusikitisha na kuhuzunisha kwa hawa watu demu mkaree kama huyu eti kwao hana mvuto hata wakipishana hawageuzi shingo.
View attachment 1115687
Narudia tena bora Tuendelee tu kuwa na low IQ kuliko hii mentality zao za kisoro
we have different attitude mind set, energy , origins ,,,,thats why they said white will be whites and black will be black we have our own way they do not understand
 
Nyinyi mnaosema sijui wazungu ndo wamesema huyo ana mvuto hamna akili kabisa. Wapo wazungu wanapenda waafrika na wapo waafrika wanapenda wazungu. Hyo kwamba mzungu sijui anapenda kimbau mbau ni ujinga mnaeneza vita ya racism tu. Hayo mambo ni ya zamani na yamepitwa na wakati. Wapo wazungu wanama shape na wapo waafrika vimbau mbau. Acheni kuendekeza vitu mnavyoona kwenye media. Acha kabisa ni upumbavu
 
Jamani acheni kufananisha wazungu na vitu vya kijinga
Umeongea point braza, sio wazungu wote wembamba in fact hawa wanaangalia hizi media. Angalieni kina Ronaldo madem zao ni wazungu. Mbona waafrika wapo wembamba kina lupita nyongo Ila hatuwaongelei. Binadamu ni binadamu huwezi define by their race
 
napita tu
Mzuqa!
Tuendelee tu kumshukuru Mungu na kujivunia kuzaliwa mwafrika. Ni jambo jema na la kujivunia. Laiti tungezaliwa kama wao ama kukulia toka utotoni kwenye Jamii yao tungebaki kuwa mazoba yaliyokubuhu na mentality mbofumbofu.
View attachment 1115684
Eti huyu hapa chini kwenye picha wenyewe wanavyodai ni mrembo balaa na ana mvuto wa aina yake. BORA TU TUBAKI NA LOW IQ.
View attachment 1115686
A naitwa Kendal jarner eti wenyewe wanavyodai ni kati ya mwanamke mrembo na mwenye mvuto wa aina yake duniani sasa hivi na wako serious hawatanii hawa watu wanaopeleka hadi roketi Mars.
Sasa cha kusikitisha na kuhuzunisha kwa hawa watu demu mkaree kama huyu eti kwao hana mvuto hata wakipishana hawageuzi shingo.
View attachment 1115687
Narudia tena bora Tuendelee tu kuwa na low IQ kuliko hii mentality zao za kisoro
 
Na wale wanene walio kwenye ndoa wameingiaje sasa?
Hivyo vimbau mbau ndo vizuri Mkuu!
Na ndo wanaoolewa hao..... Tembo hawafugwi wanaangaliwa tu huko huko mbugani
Ndio maana dada zetu kila uchwao wanahangaika na diet
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom