Picha: Watu 40 waliotimuliwa kazi walivyotinga BOT

mandella

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
3,048
3,227
1476253927018.jpg

Saa 12:24 Aliyekua mfanyakazi wa BOT Samson Magoti akitoka nyumbani kwake kuelekea kazini BOT.

1476254033832.jpg

Saa 12:17 Samson Magoti akiwa kwenye Bodaboda akiwa usafiri wa Daladala kuelekea kazini.

1476254087576.jpg

Samson Magoti akichukia usafiri wa Daladala katika kituo cha Yombo kuelekea kazini.

1476254165110.jpg

2:03 Asubuhi walikutana nje ya ofisi za BOT na wafanyakazi wenzanke waliofukuzwa kazi 1993.

1476254256689.jpg

2:30 Asubuhi waliungana kamati ya watu watano, wakaelekea ofisi za BOT kwa ajili ya mazungumzo na Afisa Rasilimali watu wa Benki hiyo.

Chanzo: Mwananchi.
 
Back
Top Bottom