PICHA: Wanaume mnapenda Mwanamke mwenye Umbo gani? Mwanamke unapenda umbo gani?

Mwifwa

JF-Expert Member
Apr 3, 2017
46,651
121,413
Screenshot_2018-01-06-07-00-05.png
 
Huku kote n kukosa madili. Unaanzaje kuleta habr za ajabu tena za fb kwa watu wazima na wasomi. Wewe kama unapenda umbo la mwanamke c ukae kimya au uanzishe group la whatssap ujadili vizur na kada yako, ss tunawaza familia na maendeleo wewe pengne huna mke wala mtoto ndo maana unaleta tabia za fb. Huku cyo mahala pake ndugu. Jitambue acha mawazo ya mwaka jana (2017) sasa ni 2018. Jiulize ulifanya nn mwaka jana na utafanya nn mwaka huu.
Mwisho kuwa na hofu ya mungu kwa iman yako. Daima utashinda.
 
Huku kote n kukosa madili. Unaanzaje kuleta habr za ajabu tena za fb kwa watu wazima na wasomi. Wewe kama unapenda umbo la mwanamke c ukae kimya au uanzishe group la whatssap ujadili vizur na kada yako, ss tunawaza familia na maendeleo wewe pengne huna mke wala mtoto ndo maana unaleta tabia za fb. Huku cyo mahala pake ndugu. Jitambue acha mawazo ya mwaka jana (2017) sasa ni 2018. Jiulize ulifanya nn mwaka jana na utafanya nn mwaka huu.
Mwisho kuwa na hofu ya mungu kwa iman yako. Daima utashinda.
Punguza povu kiongozi. Hili ni jukwaa la mapenzi.
 
Huku kote n kukosa madili. Unaanzaje kuleta habr za ajabu tena za fb kwa watu wazima na wasomi. Wewe kama unapenda umbo la mwanamke c ukae kimya au uanzishe group la whatssap ujadili vizur na kada yako, ss tunawaza familia na maendeleo wewe pengne huna mke wala mtoto ndo maana unaleta tabia za fb. Huku cyo mahala pake ndugu. Jitambue acha mawazo ya mwaka jana (2017) sasa ni 2018. Jiulize ulifanya nn mwaka jana na utafanya nn mwaka huu.
Mwisho kuwa na hofu ya mungu kwa iman yako. Daima utashinda.
Nenda jukwaa la uchumi, huku unatafuta nini? Au nenda jukwaa la wajasiriamali au nenda jukwaa la intelligence utakutana na wenzako wenye akili nyingi kama wewe.
 
Huku kote n kukosa madili. Unaanzaje kuleta habr za ajabu tena za fb kwa watu wazima na wasomi. Wewe kama unapenda umbo la mwanamke c ukae kimya au uanzishe group la whatssap ujadili vizur na kada yako, ss tunawaza familia na maendeleo wewe pengne huna mke wala mtoto ndo maana unaleta tabia za fb. Huku cyo mahala pake ndugu. Jitambue acha mawazo ya mwaka jana (2017) sasa ni 2018. Jiulize ulifanya nn mwaka jana na utafanya nn mwaka huu.
Mwisho kuwa na hofu ya mungu kwa iman yako. Daima utashinda.
Sio kwa Waraka Huu, vyuma havijawahi kumuacha mtu salama
 

Similar Discussions

11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom