PICHA: Wananchi wengi wajitokeza kuomba ajira za muda za NEC. Kwa kweli kama nchi tumefika pabaya

Polisi wamelazimika kutawanya umati mkubwa uliojitokeza jijini Dar es Salaam leo kuomba ajira za muda za NEC.

Sisi kama taifa kusema kweli kuna mahali pakubwa mno tumeteleza. Hili sasa ni janga!

View attachment 1591112
Hapo ukichunguza wengi ni graduates maskini ya mungu. Unakuta mtu ana miaka kitaa kazi hajapata kupunguza fedhea anaomba hata deiwaka tu mahali.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom