Tundu ana kichaa huyu huwezi choma moto kadi za chama cha watu
baada ya kutoa hotuba nzito na zenye kugusa matatizo ya wananchi, wananchi hao walirudisha kadi zao na kwa kuwa kadi hizo lissu hakuja nazo akazichoma moto.
Li CCM linakufa!!
Poleni wana wa ufisadi!!
Li Tundu Lissu ndio linakufa na Lichamdomo litakufa lakini CCM never........chezea CCM wee. Jiulize why vyama vingine Kama KANU etc lakini CCM inadunda
Mashujaa wanaoweza kuthubutu wanaongezeka. Lisu kawazidi ubunifu kina nepi na mwigulu sijui hili la kuchoma kadi za magamba watalijibu vipi.
Tumesha wazoea nyie masalia na taarab zenu, yaani bila kumtaja Dr. Slaa mkono hauendi kinywani.
Li Tundu Lissu ndio linakufa na Lichamdomo litakufa lakini CCM never........chezea CCM wee. Jiulize why vyama vingine Kama KANU etc lakini CCM inadunda
hii inatokana na watu wasio na endelevu kama wewe,jifanyie tathmini.Li Tundu Lissu ndio linakufa na Lichamdomo litakufa lakini CCM never........chezea CCM wee. Jiulize why vyama vingine Kama KANU etc lakini CCM inadunda
Kaka nipo bugando karibu mkuu.
Kaka nipo bugando karibu mkuu.