Hapo sioni watu zaidi ya 30. Hao 500 walikuwa chumbani nn?
ni haki yao kwenda popote wapatakapo,vipi walikuwa wanasema kwamba walikuwa CHADEMA lakini sasa wameamua kujiunga na CUF?KATIKA VIJIJI VYA IKUNGI ,UGHANDI,MKAMALA,NDUGUTI NA SINGIDA MJINI, WAFUASI WALIOKUWA WANAUNGA MKONO SIASA ZA CHAMA CHA CHADEMA WAMERUDISHA KADI KWA PROF LIPUMBA KTK MUDA TOFAUTI KATIKA VIJIJI HIVYO
wewe gamba sugu ......katika mkutano wa wanamageuze unatafuta nini? nyie leteni majungu sisi tunapiga kazi!Shame On you... Mie nipo Kwenye Ziara hii ya LIPUMBA, tena Ukome Kuwapotosha Watu Kuwa Wanachama wa CHADEMA zaidi ya 500 Wamerudisha Kadi, si Kweli... Kilichofanyika ni Mama Mmoja akiwa na Mwanaye Walimkabidhi Lipumba Kitabu chenye Historia nzima ya Umuhimu wa Kuwepo Kwa Upinzani Nchini, zaidi ya hapo ni Mchungaji wa Kanisa la EAGT alijiunga na CUF na hakuwa na Kadi ya Chama chochote... acheni Uongo Mitandaoni, kama huna la Kupost Ukae Kimya au Uendelee Ku-Comment Previous Comments za Wenzako. Nawasilisha!
Chama lako linapata aibu ya mwaka , hakuna kadi hata moja , nani ajiunge na Liberali.......Chadema wameamua kuanzisha sera ya kuboresha biashara ya gongo!!!
Chama lako linapata aibu ya mwaka , hakuna kadi hata moja , nani ajiunge na Liberali.......
Naona uchaguzi unakaribia kila mtu anajiona mwana propaganda.
mbona chadema na wao wameolewa Arusha na CCM , meya wa ccm na naibu meya ni wa chadema!! au ndo nyani haoni......wanafiki cuf wamefunga ndoa na ccm ha ha tupeni habari vp tabora kamanda slaa anaendelea kusonga cuf mchaka mchaka umeishia wapiiiii?!??