Picha: Wafuasi wa CHADEMA zaid ya 500 Singida warudisha kadi kwa Prof. Lipumba

kigu

Senior Member
May 27, 2012
183
74
KATIKA VIJIJI VYA IKUNGI ,UGHANDI,MKAMALA,NDUGUTI NA SINGIDA MJINI, WAFUASI WALIOKUWA WANAUNGA MKONO SIASA ZA CHAMA CHA CHADEMA WAMERUDISHA KADI KWA PROF LIPUMBA KTK MUDA TOFAUTI KATIKA VIJIJI HIVYO
1469847_642178262514277_375028501_n.jpg

1473062_642177675847669_1189025365_n.jpg


1477782_642177362514367_654817507_n.jpg

1475921_642178519180918_990569882_n.jpg

1517535_642177962514307_1786560154_n.jpg


1460311_642177879180982_1976095951_n.jpg

1463078_642177809180989_1644028214_n.jpg


1504121_641491159249654_1506387595_n.jpg




1497704_641488155916621_928744492_n.jpg
1471323_642170772515026_1011354995_n.jpg
 
Naona uchaguzi unakaribia kila mtu anajiona mwana propaganda.
 
Shame On you... Mie nipo Kwenye Ziara hii ya LIPUMBA, tena Ukome Kuwapotosha Watu Kuwa Wanachama wa CHADEMA zaidi ya 500 Wamerudisha Kadi, si Kweli... Kilichofanyika ni Mama Mmoja akiwa na Mwanaye Walimkabidhi Lipumba Kitabu chenye Historia nzima ya Umuhimu wa Kuwepo Kwa Upinzani Nchini, zaidi ya hapo ni Mchungaji wa Kanisa la EAGT alijiunga na CUF na hakuwa na Kadi ya Chama chochote... acheni Uongo Mitandaoni, kama huna la Kupost Ukae Kimya au Uendelee Ku-Comment Previous Comments za Wenzako. Nawasilisha!
 
KATIKA VIJIJI VYA IKUNGI ,UGHANDI,MKAMALA,NDUGUTI NA SINGIDA MJINI, WAFUASI WALIOKUWA WANAUNGA MKONO SIASA ZA CHAMA CHA CHADEMA WAMERUDISHA KADI KWA PROF LIPUMBA KTK MUDA TOFAUTI KATIKA VIJIJI HIVYO
1504121_641491159249654_1506387595_n.jpg
1497704_641488155916621_928744492_n.jpg
1471323_642170772515026_1011354995_n.jpg
ni haki yao kwenda popote wapatakapo,vipi walikuwa wanasema kwamba walikuwa CHADEMA lakini sasa wameamua kujiunga na CUF?
 
Shame On you... Mie nipo Kwenye Ziara hii ya LIPUMBA, tena Ukome Kuwapotosha Watu Kuwa Wanachama wa CHADEMA zaidi ya 500 Wamerudisha Kadi, si Kweli... Kilichofanyika ni Mama Mmoja akiwa na Mwanaye Walimkabidhi Lipumba Kitabu chenye Historia nzima ya Umuhimu wa Kuwepo Kwa Upinzani Nchini, zaidi ya hapo ni Mchungaji wa Kanisa la EAGT alijiunga na CUF na hakuwa na Kadi ya Chama chochote... acheni Uongo Mitandaoni, kama huna la Kupost Ukae Kimya au Uendelee Ku-Comment Previous Comments za Wenzako. Nawasilisha!
wewe gamba sugu ......katika mkutano wa wanamageuze unatafuta nini? nyie leteni majungu sisi tunapiga kazi!
 
Kwani CUF sio chama cha upinzani? Lipumba asifurahie sana kuruhusu watu kuhamahama vyama kutoka upinzani kwenda upinzani mwingine. Wapinzani wafurahie kuvuna wanachama wapya kutoka CCM ambaye ndiye mpinzani wao mkuu. Vyama vya upinzani havisongi mbele kuleta mabadiliko ya ukweli kwa sababu zao za kinafiki. Unganikeni tutawaamini. Tunaendelea kuiona CCM ikibadilishana maira ya uongozi kati yao wenyewe kwa sababu wapinzani mnagoma kuwa kitu kimoja na kamwe msidhani tunafurahia hayo. Kudadadeki.
 
wanafiki cuf wamefunga ndoa na ccm ha ha tupeni habari vp tabora kamanda slaa anaendelea kusonga cuf mchaka mchaka umeishia wapiiiii?!??
 
picha nyingine...nyie leteni majungu sisi tunapiga kazi!!
1469847_642178262514277_375028501_n.jpg
 
Mleta mada ni mpuuzi tu hana nia njema na Taifa letu ushabiki wa kishamba kama huu hauleti maana ila hata elimu yake kiduchu inaweza changia hali kuwa vile
 
wanafiki cuf wamefunga ndoa na ccm ha ha tupeni habari vp tabora kamanda slaa anaendelea kusonga cuf mchaka mchaka umeishia wapiiiii?!??
mbona chadema na wao wameolewa Arusha na CCM , meya wa ccm na naibu meya ni wa chadema!! au ndo nyani haoni......

nyie leteni majungu ila sisi tunapiga kazi!!
 
Back
Top Bottom