Ipo siku huyo dada itamtokea mdomoni....
Kwakweli jamaa ni mrefu sana!Blues walicheza huku jamaa kapiga magoti.
Ipo siku huyo dada itamtokea mdomoni....
...Masharti ya karanga shurti uonjeshwe kwanza isijekuwa zimeoza, ndio unanunua na kuzila. I hope you understand that logic. Aren't you?
umetuonaje wabongo mjomba au unaishi mkoa gani maana kuna mikeki ya hajaaHiyo cake kwa bongo huenda ni budget ya sherehe nzima.
Natokea msata mkuuumetuonaje wabongo mjomba au unaishi mkoa gani maana kuna mikeki ya hajaa
...loh..asa itakuwaje,kwani sehemu muhimu ni fupi...?
namii naonaNatokea msata mkuu
...loh..asa itakuwaje,kwani sehemu muhimu ni fupi...?
Hiyo Picha ya pili, huyo mume hapo mbele mwanamke atamudu kweli, manake mashalaaaah!!!!! Naona inakimbilia kwenye magoti.