zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Wapi huko masaburini?
Fat link: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-upinzani-yana-ukweli-polisi-wanatumiwa.html
Wapi huko masaburini?
wewe ni mmoja wapo?Mbona nusu ya hao wageni ni wakazi wa Kimara? Labda wameenda kutoa tafu
wewe ni mmoja wapo?
Mambo yalikuwa hivi
Kule kwa wpemba akafanye nini?wao si wapo busy kujadili muungano?Watapati wapi muda wa kushirikian ana mBunge wao?Ni mbunge wangu lakini muda wake umeisha tulimpa ubunge lakini jimboni hatumuoni, wakazi wa Msasani Madanzi road hawajawahi kumuona, wavuvi wa Kunduchi walimpa kura mpaka leo hawajamuona...