Acha uongo bhana, nyama tamu kuliko zote duniani ni K tuu, we imagine kitu hakishibishi lakini watu wako tayari hadi kutoana roho ili wakipate?!Kuna nyama tamu duniani aisee, ila ya nguruwe imezidi...!!!
Kuna wafugaji wachafu sana. Yaani anafuga nguruwe kama anafuga fisi bhana. Uchafu zero kabisa.
Kitimoto inatoka mazingira haya lakini ikichinjwa huko mtaani watu wanagombania na inagombanisha watu.
Hapa nguruwe hawa wamelala usingizi baada ya kushiba chakula chao.
View attachment 619269
Kitimoto inatoka mazingira haya lakini ikichinjwa huko mtaani watu wanagombania na inagombanisha watu.
Hapa nguruwe hawa wamelala usingizi baada ya kushiba chakula chao.
Usishangae nao hapo walipo wanasimuliana wanakushangaa ulivyokwenda hapo umejipodoa
Tatizo la K zipo tofauti mkuu. Kuna zingine ukishapiga hutamani kurudia. Zingine zina maji mengi, zingine zimetembea kilometa nyingi sana, kwahyo ili uifurahie lazima uwe na bahati, NI KAMA UNABET VILE.Acha uongo bhana, nyama tamu kuliko zote duniani ni K tuu, we imagine kitu hakishibishi lakini watu wako tayari hadi kutoana roho ili wakipate?!
Daaah, we jamaa...! Usirudie tena aisee. Nimedondosha udenda+ bapaau ushushiebaridii
Mkuu nipo pembeniyako hapa nacheki mechi ya swansea na asenal nameagiza kilo nzima na bapa hapaYani hapa nipo Lastanza nimeagiza kitimoto na ndizi moja. Nashushia na Smirnoff.....
Ah kula tano mwanangu. Ningejua kona ulipo ningekuja kukulipia bapa nyingine.Mkuu nipo pembeniyako hapa nacheki mechi ya swansea na asenal nameagiza kilo nzima na bapa hapa
Uchafu zero inamaanisha nini? Ulimaanisha hakuna usafi?Kuna wafugaji wachafu sana. Yaani anafuga nguruwe kama anafuga fisi bhana. Uchafu zero kabisa.
Kitimoto inatoka mazingira haya lakini ikichinjwa huko mtaani watu wanagombania na inagombanisha watu.
Hapa nguruwe hawa wamelala usingizi baada ya kushiba chakula chao.
View attachment 619269
Sungura hats Mimi ni kama kula pakaOngezea na ya Sungura mkuu!
Sijui kwanini vitu ambavyo Wasabato na Waislamu hawali ndio vitamu aisee!!!
Jamaa kaamua tu kuharibu taswira ya mazingira ya Nguruwe,Kamanda!!
Hizo picha si kwamba ni tukio la juzi, mvua za Dar es salaam..
Mimi Kuna mtu alinijuza kuhusu picha hizo, kwamba ni Matokeo ya mvua kubwa ya juzi.