Picha ukutani Inapendeza sana katika mkutano wa Chadema

Kishongo

JF-Expert Member
May 4, 2010
932
64
Chadema in caucus.jpg
Picha ya JK ukutani imetoka safi sana.

Heshma kwa Kiongozi wa nchi ni lazima kwa wote!
 
View attachment 16765
Picha ya JK ukutani imetoka safi sana.

Heshma kwa Kiongozi wa nchi ni lazima kwa wote!

Wao wanajua, lakini wale hawajui, ndio maana wao hawazozani juu ya lile, lakini wale wanataka kutoana shingo juu ya hilo, sishangai napowaona wao wakitaniana na kuzungumza, kama nisivyoshangaa kuwaona wale wakinuna na kutoleana maneno yasiyopendeza. Tatizo ni kwamba wanatazama lakini hawaoni. Wanasikiliza lakini hawaelewi..... bado lakini ni utoto wakikua wataacha.:smile-big:
 
Wao wanajua, lakini wale hawajui, ndio maana wao hawazozani juu ya lile, lakini wale wanataka kutoana shingo juu ya hilo, sishangai napowaona wao wakitaniana na kuzungumza, kama nisivyoshangaa kuwaona wale wakinuna na kutoleana maneno yasiyopendeza. Tatizo ni kwamba wanatazama lakini hawaoni. Wanasikiliza lakini hawaelewi..... bado lakini ni utoto wakikua wataacha.:smile-big:



JK Zito na Simbakalia.jpg

Kama Mhe Zito hapa... yeye anaonekana kuelewa kuwa inawezekana kushindana bila kupigana.
 
Back
Top Bottom