Picha; Udart na upigaji

Hali ya lugha ya Taifa nchini Tanzania inazidi kuwa mbaya, kadri siku zinavyozidi kwenda mbele.

Kwa sasa, Watanzania wengine hawawezi kuandika Kiingereza wala Kiswahili kwa ufasaha. Wamezalisha lugha mpya kabisa.

Hali hii ya kuharibika kwa lugha ilianza taratibu.Kwa mfano, mtu anaandika xaxa badala ya sasa.

Sababu nyingine ni kuchanganya Kiingereza na Kiswahili. Hizi lugha zina sarufi mbili tofauti. Watu wamejilemaza wenyewe. BAKITA wapo, vyuo vikuu vipo! Bora liende!

"Eneo hili ni la abiria wa hospitali ya Mloganzila"

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Asante.
 
3013740_IMG_20211126_162011.jpg
 
Back
Top Bottom