gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,572
Sijamtisha mtu yoyote mkuu, ila nasema mwisho wa haya malumbano mwezi wa kumi. Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Hamna cha kidumu chama cha mapinduzi hapa Peoplessssssssssssssssss.
Sijamtisha mtu yoyote mkuu, ila nasema mwisho wa haya malumbano mwezi wa kumi. Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Lowasa maji ya moto huyo, hamna kitu.Awe CCM b c d yaani awavyo awe hivyo ,mnaondoka tu , ila hapo kwenye Tingatinga bado nipo hapo hapo na ukitaka kujua nani TingaTinga kati ya Lowasa na Makomeo angalia zoazoa ya uchukuaji fomu , bila ya shaka yeyote ile utakubali ndani ya moyo wako kuwa TingaTinga ni Lowasa na mifano hai ipo njiani nakwambieni majembe na mipini ificheni ,au tumuite kizhungu Bulldozer ndio mtazidi kuukubali ukweli.
Mkuu naona unafuraha mpaka unasahau na sheria za humu