PICHA: Tanzania yafikia 16% ujenzi wa reli ya kisasa

ni vitu viwili tofauti lakini vina endana... wapo walioweka reli mbili ya kwenda na kurudi... sasa sijui wewe una zungumzia wenzenu wa wapi??? labda wakenya...; kwenye stesheni kuna kuwa na idadi ya track mbili na kuendelea ina tegemea na ukubwa wa stesheni husika...
Inategemea na ubize wa hio reli. Watu wamefanya utafiti wakaona kwetu sisi reli mbili ni hasara hazitakuwa utilized to the maximum yaani hakutakuwa na treni nyingi kwahio kupishana niiming kwenye station.

Mfano treni moja inatoka Dar moja inatoka Dodoma zinakuja kupishana Morogoro. Nikupe mfano hai London Underground zina reli moja isipokuwa kwenye station reli hio inaji-branch kutoa moja kushoto ingine kulia.
Treni hizo zinapishana kwenye vituo.
 
Inategemea na ubize wa hio reli. Watu wamefanya utafiti wakaona kwetu sisi reli mbili ni hasara hazitakuwa utilized to the maximum yaani hakutakuwa na treni nyingi kwahio kupishana niiming kwenye station.

Mfano treni moja inatoka Dar moja inatoka Dodoma zinakuja kupishana Morogoro. Nikupe mfano hai London Underground zina reli moja isipokuwa kwenye station reli hio inaji-branch kutoa moja kushoto ingine kulia.
Treni hizo zinapishana kwenye vituo.
hapana hakuna hasara... kama ukiwasikiliza wana kwambia kuna vipande vimetengwa kwa ajiri ya kupishana na kuna njia ya kisasa ya mawasiliano na kuruhusu treni kusafiri kila baada ya muda flani ili ziweze kupishana ktk maeneo yaliyo tengwa.. tofauti na hapo ni ajali...

nini maana yake, tunapo elekea tuna itaji kujenga tena reli kwa gharama kubwa pale reli ya sasa kama itakuwa ina mahitaji makubwa... kama leo tuna jenga kwa sh 20... sizani kwa miaka mitano ijayo tutajenga kwa sh 5... ni lazima tutajenga kwa gharama zaidi na mahitaji ya baadae yatakuwa makubwa zaidi...

kama tuna jenga kwa ajiri ya matumizi ya leo tu sawa na ndio tumesha feli tena kwa kiwango standard gauge...

Asante Tanzania
 
hapana hakuna hasara... kama ukiwasikiliza wana kwambia kuna vipande vimetengwa kwa ajiri ya kupishana na kuna njia ya kisasa ya mawasiliano na kuruhusu treni kusafiri kila baada ya muda flani ili ziweze kupishana ktk maeneo yaliyo tengwa.. tofauti na hapo ni ajali...

nini maana yake, tunapo elekea tuna itaji kujenga tena reli kwa gharama kubwa pale reli ya sasa kama itakuwa ina mahitaji makubwa... kama leo tuna jenga kwa sh 20... sizani kwa miaka mitano ijayo tutajenga kwa sh 5... ni lazima tutajenga kwa gharama zaidi na mahitaji ya baadae yatakuwa makubwa zaidi...

kama tuna jenga kwa ajiri ya matumizi ya leo tu sawa na ndio tumesha feli tena kwa kiwango standard gauge...

Asante Tanzania
Hio hio moja hizo nyingi zinaweza kupishana kwenye vituo kadhaa. Hebu punguzeni ujuaji jamani kila kitu nyinyi mlio nje ndio mnajua kingefanywa vipi?
Nimekupa mfano wa underground zipo nyingi almost moja kila dakika 10 na wanatumia reli moja wanapishana vituoni. Watu wamefanya utafiti kabla ya kujenga hio usifikiri wamejenga tu.
 
Hio hio moja hizo nyingi zinaweza kupishana kwenye vituo kadhaa. Hebu punguzeni ujuaji jamani kila kitu nyinyi mlio nje ndio mnajua kingefanywa vipi?
Nimekupa mfano wa underground zipo nyingi almost moja kila dakika 10 na wanatumia reli moja wanapishana vituoni. Watu wamefanya utafiti kabla ya kujenga hio usifikiri wamejenga tu.
tafiti zipo nyingi na zine hazina tija... tafiti kisiwe kichaka mkuu... na kuna tafiti huwa zina feli pia... tafiti zilifanywa bandari ya Dsm lakini hamna kitu, tafiti zilifanywa bandari za tanga, bagamoyo, na mtwara lakini tuna jionea yaliyomo kwa sasa...
 
hatupingi maendeleo ila ni wadau nambari moja wa maendeleo ndio maana tuna kuwa na wasi wasi...
 
ni vitu viwili tofauti lakini vina endana... wapo walioweka reli mbili ya kwenda na kurudi... sasa sijui wewe una zungumzia wenzenu wa wapi??? labda wakenya...; kwenye stesheni kuna kuwa na idadi ya track mbili na kuendelea ina tegemea na ukubwa wa stesheni husika...
Jifunze kabla kutenda.. Sio kila kitu unaleta Unaleta mahaba na Ujinga

Fast moving and heavy bodies huwa hazitembei sambamba kwa sababu ya
Suction effect
 
Maendeleo daima ni nzuri kwa kila mtu. Njia hii itaunganisha wengi na itaifanya maisha yao iwe rahisi. Lakini wakati huo huo walikubaliana na mtazamo wa kila mtu.
 
Ujenzi wa awamu ya kwanza wa reli ya kisasa (Standard Gorge) umefikia asilimia 16 na unatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 30 ifikapo Novemba 2019.
Reli hiyo ya kisasa itakuwa ya treni yenye kasi ya kilomita 160 kwa saa na uendeshaji wake utatumia umeme au mafuta.



Akizungumza leo Julai 17 wakati wa ziara ya Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Mkuu wa Mipango (Planning Chief) wa kampuni ya Yapi Merkezi, Enis Eryilmaz amesema kipande cha Dar - Morogoro chenye kilomita 300 kitakuwa na vituo sita ambavyo ni Dar, Pugu, Soga, Ruvu, Ngerengere na Morogoro.
"Tumejipanga kumaliza mradi huu ndani ya wakati, tunatumaini tutasherehekea uzinduzi wake Novemba 2019," amesema mtaalamu huyo.



Eryilmaz amesema wamekuwa wanafanya kazi usiku na mchana lakini changamoto kubwa tuliyokabiliana nayo ni mvua nyingi zinaponyesha.
Amesisitiza kwamba kampuni ya Yapi Merkezi imeajiri watu 4000, kati yao Watanzania ni asilimia 90. Amesema ushiriki wao ni mzuri na wengi wanafanya kazi vizuri.



"Tunajitahidi kufanya kazi bega kwa bega na Watanzania ili tukiondoka waweze kuendesha mradi huu na kufanya matengenezo mengine," amesema.
Amebainisha kwamba ifikapo Agosti, mwaka huu wataanza kulaza mataluma ya reli kwenye baadhi ya maeneo wanayojenga.



Meneja mradi msaidizi kutoka Shirika la Reli Tanzania (TRC), Mhandisi Machibya Masanja amesema reli hiyo itakuwa na kituo cha kupoza umeme kila baada ya kilomita 50 na Shirika la Umeme (Tanesco) litaweka umeme maalumu kwa ajili ya reli hiyo.



Amesema Dar es Salaam itakuwa na treni maalumu kwa abiria na watajenga kituo kikubwa Pugu ambacho kitakuwa kinapakia abiria wa Dar es Salaam na waendao mikoani.



Awali akizungumza na wakandarasi hao, mwenyekiti wa ERB, Profesa Ninatubu Lema amewaomba kuchukua wakandarasi wanafunzi kwa ajili ya kujifunza kwa vitendo mbinu na teknolojia mbalimbali za uhandisi.



Amesema mradi wa SGR ni mkubwa na kwa nchi kama Tanzania, hutokea mara moja ndani ya miaka 100.
"Tumefurahi kuona kazi inafanyika kwa umakini mkubwa wa kihandisi na wana vifaa vya kisasa. Pia, tumefurahi kuona watanzania wanashirikishwa lakini kwa level ya wahandisi bado wako wachache," amesema Profesa Lem.


My take : Watapata taabu sana !View attachment 811891
Vizur Sana kwa maendeleo haya, ila mbona naona njia moja Sasa, wakati inatakiwa njia mbili kwa ajili ya kupunguza kusubiriana kwa treni kwenye vituo, isiwe Kama reli ya kati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom