Picha: Tanzania kuna vikundi vya waasi ambavyo vinatoa mafunzo ya kijeshi?

Behaviourist

JF-Expert Member
Apr 8, 2016
39,901
95,385
Hii picha leo imekuwa maarufu sana huko Twitter ikidaiwa kuwa imepigwa Tanzania.

Haya mambo nimezoea kuyaona katika vikundi vya INTERAHAMWE huko Rwanda na Congo.Sijazoea kuona mambo kama haya hapa Tanzania.Serikali ina taarifa na vikundi hivi?
Gput-1.jpg
 
Hii picha leo imekuwa maarufu sana huko Twitter ikidaiwa kuwa imepigwa Tanzania.

Haya mambo nimezoea kuyaona katika vikundi vya INTERAHAMWE huko Rwanda na Congo.Sijazoea kuona mambo kama haya hapa Tanzania.Serikali ina taarifa na vikundi hivi?
View attachment 1899386
hawa hawana haja na katiba mpya ndo maana waachwa wafanye wanayoona ni vyema.Ila ingekuwa ni kina fulani....
 
Hii picha leo imekuwa maarufu sana huko Twitter ikidaiwa kuwa imepigwa Tanzania.

Haya mambo nimezoea kuyaona katika vikundi vya INTERAHAMWE huko Rwanda na Congo.Sijazoea kuona mambo kama haya hapa Tanzania.Serikali ina taarifa na vikundi hivi?
View attachment 1899386
Tuache upimbi, hili lilijadiliwa tarehe 10/03/2015 hapa JF. Siyo leo

 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom