eumb
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 149
- 70
Picha hizi mbili zote ni matukio yaliyojiri tar 2.9.12. Wakati yanatokea Serikali ilikuwa imetoa wito wa kusitisha mikutano ya siasa kwa ajili ya shughuli ya sensa, sasa walikuwa wanamaanisha CCM hawahusiki nalo? Mbona hao polisi hawakusambaratisha mkutano huo? CDM walikuwa wanafungua matawi wakati CCM walikuwa wanafanya uzinduzi wa kampeni za uchaguzi.