TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,740
- 21,183
HAKIKA.CCM kimefanywa Chama Cha Maiti na Mizoga...Kama Katiba ingeweza kubadilishwa haraka Mzee Jaakaya Kikwete angekuja kumalizia Nngwe.
HAKIKA.CCM kimefanywa Chama Cha Maiti na Mizoga...Kama Katiba ingeweza kubadilishwa haraka Mzee Jaakaya Kikwete angekuja kumalizia Nngwe.
Misinformed? Daktar mwenye phd anashindwa kuhakikisha kuwa hizo picha ni za kweli ama lah?.Sometimes wanakua misinformed,lakin wabongo mlivyonatabia mbaya mtashikilia bango mwaka mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa simuelewi siku hizi km vile anataka kukengeuka,anyway mmoja mmoja wataelewa tuu!Leo unamruka Dokta futi 100??
Si ulikuwa unampamba kila siku hapa miezi michache iliyopita??
Hiyo inatia shaka hata purity ya andiko lake la PhD. So sadMisinformed? Daktar mwenye phd anashindwa kuhakikisha kuwa hizo picha ni za kweli ama lah?.
Alikuwa waziri wa ulinzi.. inamaana hakujifunza chochote kutoka kwenye wizara hiyo?
Awe na tabia ya uchunguza.. sio kupost kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tetesi - Mwigulu kurudishiwa uwaziri baada ya kulamba miguuHe he heh e
Kuunga mkono juhudi za Muheshimiwa kunahitaji roho ya paka.
Wanatia aibu sana hawa jamaa
Hahahahaha DuhTetesi - Mwigulu kurudishiwa uwaziri baada ya kulamba miguu
Haha mnatucheka !! Daah !MK254 come uone tanzania politics they've made wonders
CCM Wanazidi kupata aibu baada ya kutumia picha za uongo ili kuhadaa umma!
Naomba Makada Mkuje hapa....mkuu Salary Slip Hebu njoo uone, @shakaza MANI tpaul BAK View attachment 1000963View attachment 1000964View attachment 1000965View attachment 1000967View attachment 1000966
Sent using Jamii Forums mobile app
Y kweli hayo mkuu??Tetesi - Mwigulu kurudishiwa uwaziri baada ya kulamba miguu
Ungejua maana ya ! Wala usingejibu.
Hahahaha,Kuna jamaa mmoja wa Aljazeera anaitwa Mehdi Hassan,kipind chake kinaitwa Heat to Head.Huyu jamaa ana maswali Steve anasubiri,halafu anakubana hadi ujibu ndo amove On.Ukikutana na mwandishi na mtangazaji nguli kama yule unaweza kuomba radhi na kutangaza kuwa umeshikwa ghafla na degedege
Tetesi haithibitishwi mkuuY kweli hayo mkuu??
Anatka uteuzi tena.CCM Wanazidi kupata aibu baada ya kutumia picha za uongo ili kuhadaa umma!
Naomba Makada Mkuje hapa....mkuu Salary Slip Hebu njoo uone, @shakaza MANI tpaul BAK View attachment 1000963View attachment 1000964View attachment 1000965View attachment 1000967View attachment 1000966
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM Wanazidi kupata aibu baada ya kutumia picha za uongo ili kuhadaa umma!
Naomba Makada Mkuje hapa....mkuu Salary Slip Hebu njoo uone, @shakaza MANI tpaul BAK View attachment 1000963View attachment 1000964View attachment 1000965View attachment 1000967View attachment 1000966
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew mwenyewe unadhalilisha elimu 'kudharirisha' ndio nini sasaWatanzania tunaongoza kwa kudharirisha " elimu" ya PhD........ Yaani ni afadhali ya Kibajaj na Musukuma wana lugha kali lakini siyo waongo waongo!