Ndugu heshimu imani za watu.Hivi hapo kuna tofauti na wale wenzangu wakatoliki,naomba nisaidiwe Kwa wajuzi wa mambo
Hakuna tofauti kabsaaaaHivi hapo kuna tofauti na wale wenzangu wakatoliki,naomba nisaidiwe Kwa wajuzi wa mambo
hakuna tofautiHivi hapo kuna tofauti na wale wenzangu wakatoliki,naomba nisaidiwe Kwa wajuzi wa mambo
Jibu swali,usijifiche kwenye kivuli,nilichouliza uongo au ukweli?Ndugu heshimu imani za watu.
The same & one thing. No more, no less ~ alisikika akisema yuleee Mr Mzungu wa BelgiumJibu swali,usijifiche kwenye kivuli,nilichouliza uongo au ukweli?
wale mara nyingi wanatumia mbao na material mengne, sioni dhahabu ikitumika kwaoHivi hapo kuna tofauti na wale wenzangu wakatoliki,naomba nisaidiwe Kwa wajuzi wa mambo
Lakini yote si yanaitwa masanamuwale mara nyingi wanatumia mbao na material mengne, sioni dhahabu ikitumika kwao
Ndio maana Watanzania tunadharaulika kwa kuwa simple minded. Hiyo picha ni Photoshop.Dunia hadaa ulimwengu shujaa.
Wenzenu hapo kwa Biden wameamua kwa moyo mkunjufu kufanya ibada na kuiabudu sanamu ya mstaafu Trump.
Nawasilisha.
View attachment 1715271
Ikiwa unataka imani yako iheshimiwe heshimu kwanza imani za watu wengine.Hivi hapo kuna tofauti na wale wenzangu Wakatoliki, naomba nisaidiwe kwa wajuzi wa mambo.
Mimi sijazalau imani ya mtu mwingine,najalibu kulinganisha hivi vitu Kwa kizazi cha sasa hivi je vinauhalali wa kuwepo,au kutumika,inawezekana watu wengi wamechoshwa na hayo mambo ya sanamu lakini hawana pa kusemeaIkiwa unataka imani yako iheshimiwe heshimu kwanza imani za watu wengine.
Kafulie nguo yatakufaa!Mbona umekuja na MAPOVU MAKALI SANA ...