Picha: Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akitoa heshima kwenye kaburi la Hayati Magufuli

Mwamba wa Africa gani anayekimbia kuhudhuria mikutano ya kimataifa ??!!, mfano mkutano wa "UNGE"----- hukuwaona akina Mugabe walikuwa wakienda huko New york na wanawachapa za uso Mabeberu??!!, hao ndio miamba ya Africa.
Kwahio Mama yako alivyo okota pochi barabarani saizi anahudhuria mikutano nakuhubili habari ya korona na bidhaa za viwandani kupanda bei mara dufu ndio nafuu kwako fala wewe
 
Magufuli maiti dadadeki,, chali, kwisha kabisa , kifo cha Mende..!
Mungu fundi sana, Allah kamzima huyu HAYAWANI .
 
Mwamba wa Africa gani anayekimbia kuhudhuria mikutano ya kimataifa ??!!, mfano mkutano wa "UNGE"----- hukuwaona akina Mugabe walikuwa wakienda huko New york na wanawachapa za uso Mabeberu??!!, hao ndio miamba ya Africa.
Ulimwengu ulimtambua bila ya kusafiri kokote ukiona wazungu wanakubeza ujue umewashika pabaya!
 
Daa! Mkuu you’ve gone too far ! Mungu atatuondoa wote kwa wakati ! He is dead basi !
Unaongea haya kwa sababu wewe siyo mtoto wake Ben Saaanane au azory gwanda au Alphonce Mawazo ambao waliuawa.Unaongea haya kwa sababu wewe siyo ndugu zake wale maiti zilizokuwa zinaokotwa kwenye fukwe za bahari na kwenye mito.

Unaongea haya kwa sababu wewe siyo ndugu zake wale jamaa waliouawa Zanzibar wakati wa uchaguzi mkuu.

Unaongea haya kwa sababu hujapoteza ndugu, jamaa na marafiki kwenye uchaguzi mkuu huku Bara.Unaongea haya kwa sababu huna ndugu aliekufa kwa Corona baada ya huyu mshenzi kupiga pini chanjo.

Unaongea haya kwa sababu wewe hukubambikiziwa kesi za mauaji pamoja na uhujumu uchumi wakati wa uchaguzi mkuu.
 
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akitoa heshima mbele ya kaburi la Hayati Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, lililopo nyumbani kwake, Chato mkoani Geita leo Jumatatu. Magufuli alifariki dunia 17 Machi 2021, Dar es Salaam. https://t.co/vSvgBmNW1tView attachment 2027272
Vipi kile kiti pale kwa angle huyo mlinzi anakesha hapo kulinda aliyelala kwani hizo vigae ni dhahabu?
Si ashajengewa kuna haja ya mlinzi?
 
Wewe una chuki tu, tokea Magufuli anaingia madalakani haukuwahi kuona mazuri yake hata moja badala yake unaona mabaya tu, hili nalo ni tatizo.

Lakini hata hivyo sote tutaondoka duniani kila mtu kwa wakati wake, kwahiyo usijuvunie sana.

Magufuli katangulia sisi zamu yetu inakuja jiandae.
Unaongea haya kwa sababu wewe siyo mtoto wake Ben Saaanane ambae aliuawa.Unaongea haya kwa sababu wewe siyo ndugu zake wale maiti zilizokuwa zinaokotwa kwenye fukwe za bahari na kwenye mito.

Unaongea haya kwa sababu wewe siyo ndugu zake wale jamaa waliouawa Zanzibar wakati wa uchaguzi mkuu.

Unaongea haya kwa sababu hujapoteza ndugu, jamaa na marafiki kwenye uchaguzi mkuu huku Bara.Unaongea haya kwa sababu huna ndugu aliekufa kwa Corona baada ya huyu mshenzi kupiga pini chanjo.
 
Back
Top Bottom