Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 734
- 475
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akihudhuria vikao vya kikatiba vya Chama Cha Mapinduzi, Chamwino Dodoma.
Vikao hivyo vinaongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 27 Oktoba, 2022, Chamwino, Dodoma.View attachment 2399879
Vikao hivyo vinaongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 27 Oktoba, 2022, Chamwino, Dodoma.View attachment 2399879