Mkuu kuna kitu unaTafuta si bure,Safi sana and beautiful First Lady, mama hana makuu huyu nafikiri baada ya Mama Maria huyu anafuatia, wengine walikuwa bize kuokota dodo kwenye muembe. Ukija na hasira zako hapa unaweza sema ana haiba kama ya nchi jirani kumbe ni mwenzetu kabisa.
Magu kama analia vile.... au kwake Tabasamu + Kicheko = sura ngumu...hatari sanaView attachment 959258
"Ninawatakia kila la heri katika Maadhimisho ya Miaka 57 ya Uhuru wa Tanzania Bara, tusheherekee kwa amani, Mungu wabariki Watanzania wote, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika, Asante sana kwa kunisikiliza" -Rais Magufuli
So what Tatum?View attachment 959258
"Ninawatakia kila la heri katika Maadhimisho ya Miaka 57 ya Uhuru wa Tanzania Bara, tusheherekee kwa amani, Mungu wabariki Watanzania wote, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika, Asante sana kwa kunisikiliza" -Rais Magufuli
Zile za mama Salma na Anna Mkapa zinaendeleaje?Huyu Mama Mpaka Leo hajaanzishiwa NGO
Mi Mama ya Mjini inatamani Sana imzOnge zOnge ikina Asha Baraka, Shrose, Sophia Simba, Kite Kamba, Zarina Madabida n.k
Magu kadhibiti Mkewe asiwe Karibu Na Hii Minyakanga Na Migube gube ya Mjini
Sasa hivi inamsarandia Samia lakin Ulinzi umeimarishwa
Huyu Mama Mpaka Leo hajaanzishiwa NGO
Mi Mama ya Mjini inatamani Sana imzOnge zOnge ikina Asha Baraka, Shrose, Sophia Simba, Kite Kamba, Zarina Madabida n.k
Magu kadhibiti Mkewe asiwe Karibu Na Hii Minyakanga Na Migube gube ya Mjini
Sasa hivi inamsarandia Samia lakin Ulinzi umeimarishwa
wewe lazima ni mtz tu......wa kimara