nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
TUESDAY, NOVEMBER 27, 2012
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA MABENKI JIJINI
ARUSHA HIVI SASA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano mkuu wa mabenki yote 49 yaliopo hapa nchini,unaendelea hivi sasa katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa (AICC) jijini Arusha.Mkutano huu ni Muendelezo na utaratibu wa Kukutana kila Baada ya Miaka miwili kwa Mabenki yote hapa nchini.
TUESDAY, NOVEMBER 27, 2012 ~ COPYRIGHT: MICHUZI BLOG
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA MABENKI JIJINI
ARUSHA HIVI SASA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano mkuu wa mabenki yote 49 yaliopo hapa nchini,unaendelea hivi sasa katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa (AICC) jijini Arusha.Mkutano huu ni Muendelezo na utaratibu wa Kukutana kila Baada ya Miaka miwili kwa Mabenki yote hapa nchini.
TUESDAY, NOVEMBER 27, 2012 ~ COPYRIGHT: MICHUZI BLOG