Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Hivi mheshimiwa na mke wake wameshindwa kabisa kutupatia japo zawadi ya mtoto mmoja wakiwa Ikulu? Au mambo yamekwamba kila idara?
kuna mitoto ikulu kama chekechea...hujui tu
Hivi mheshimiwa na mke wake wameshindwa kabisa kutupatia japo zawadi ya mtoto mmoja wakiwa Ikulu? Au mambo yamekwamba kila idara?
Hivi mheshimiwa na mke wake wameshindwa kabisa kutupatia japo zawadi ya mtoto mmoja wakiwa Ikulu? Au mambo yamekwamba kila idara?
kuna mitoto ikulu kama chekechea...hujui tu
kuna mitoto ikulu kama chekechea...hujui tu
oyeeeeaah namwona mama mwanaasha palee, kiss kiss
View attachment 58016
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jana jioni
wakitokea Burundi na Rwanda walikohuidhuria sherehe za miaka 50 wa uhuru wa nchi hizo. Anayeongozana nao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Mecky Sadik.
View attachment 58017 View attachment 58018
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Inspekta Jenerali wa Polisi Afande Saidi Mwema na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange baada ya kuwasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jana jioni wakitokea Burundi na Rwanda walikohuidhuria sherehe za miaka 50 wa uhuru wa nchi hizo
Hivi ni lazima hawa jamaa wakampokee?
acha uchuro na uwendawezimu aisee, mbona una roho mbaya ivi, tutapambana kwenye vyama lakini uhai wa mtz mwenzetu awe ccm au chadema tutaulinda...unaombea ndege ya rais idondoke ili afe....we mjinga sana....dua la kuku halimpati mwewe hata hivyo.hiyo ndege itakuja kudondoka siku moja!inshaala!