USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,895
- 22,659
Rais wa Rwanda, Paul Kagame, akimwendesha mgeni wake, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, jijini Kigali Rwanda alikokuwa kwenye ziara ya siku mbili. Rais Samia amerejea Tanzania leo Jumanne.
Naona huu uswahiba utatusaidia Sana CCM maana kagame anambinu za medani na busara
Naona huu uswahiba utatusaidia Sana CCM maana kagame anambinu za medani na busara